Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zahera kiboko, atoa siri ya maamuzi ya Yanga

Jumamosi , 19th Jan , 2019

Ikiwa zimebaki saa chache tu kuelekea mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara kati ya Stand United wanaowakaribisha Yanga, ambapo kocha wa vinara wa ligi Mwinyi Zahera amesema mbinu anayotumia kupanga kikosi.

Kocha Mwinyi Zahera (katikati).

Akiongea leo kwenye kikao cha kabla ya mechi 'Pre Match Meeting', Zahera amesema kila kocha katika eneo lake huwa anatoa maamuzi ya nani aanze na nani asianze kisha yeye hupokea maoni na kushauri tu.

''Kocha msaidizi na kocha wa walinda milango huwa nawaomba vikosi vyao wanavyotaka vianze kila mmoja ananiletea, kocha msaidizi ananipa kikosi kizima na kocha wa makipa ananipa jina la kipa anayetaka aanze kisha nashauri na tunatoka na kikosi cha kwanza'', amesema.

Kwa upande mwingine Zahera amesema kucheza leo kwa kinara wa mabao kwenye ligi mpaka sasa Heritier Makambo, inategemea na vikosi vya makocha wengine hivyo lolote linaweza kutokea lakini tayari nyota huyo ameanzia benchi.

Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Stand United mchezo utaanza saa 10:00 jioni.

Kindoki, Paul Godfrey, Gadiel, Andrew, Yondani, Shaibu, Ngassa, Fei toto, Amis Tambwe, Haruna Moshi, Ajibu.

Akiba: Ibrahim, Juma, Haji, Makapu, Kaseke, Buswita, Makambo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi