Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaka zakazi atoa wito kuhusu takwimu za TPLB

Ijumaa , 24th Sep , 2021

Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano wa Azam FC, Zakaria Thabit ametoa wito kwa bodi ya Ligi kuu nchini, (TPLB), kutoa uhuru kwa timu za nyumbani kusimamia maandalizi ya mechi zao, ikiwemo promosheni, bei ya viingilio ili kuweza kuimarisha mapato kwa vilabu.

Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano wa Azam FC, Zakaria Thabit.

Kauli hii inakuja siku moja baada ya TPLB, kutoa takwimu za mshabiki kwa kila klabu nchini pamoja na vipato walivyovuna kutokana na mauzo ya tiketi za viwanjani kwa msimu wa 2020/2021 huku, Azam wanashikilia nafasi 17 kati ya 18 wakiwa na idadi ya mashabiki 11,456.

Thabit amesema kuwa iwapo vilabu vya ligi kuu vitapewa nafasi na uhuru wa kusimamia maandalizi ya mechi zao, zitaweza kuvuna mapato zaidi ya takwimu zilizotolewa jana, kwakuwa wataelekeza nguvu zaidi kuwashawishi mashabiki kuja uwanjani tofauti na sasa ambapo Bodi ya ligi inasimamia maandalizi hayo nakupanga bei za tiketi ambayo si rafiki kwa  maendeleo ya vilabu.

Msemaji wa wanalamba lamba hao wa chamanzi, ameomba Bodi ya ligi kuu kurejea upya ratiba ya Azam, hususani kwenye michezo yao ya nyumbani ambazo nyingi huchezwa majira ya usiku na katikati ya juma zikawia ugumu watazamaji kujitokeza kutokana na majukumu yao binfasi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali