Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zidane arejea Madrid baada ya miezi 10 kupita

Jumatatu , 11th Mar , 2019

Klabu ya soka ya Real Madrid leo Machi 11, 2019, imemfuta kazi kocha Santiago Solari na kumrejesha kocha wake wa zamani Zinedine Zidane.

Zinedine Zidane

Mabingwa hao wa kihitoria wa Ulaya wamethibitisha kurejea kwa Zidane ikiwa ni miezi 10 imepita tangu Mfaransa huyo alipotangaza kuachana na klabu hiyo Mei 31, 2018.

Zidane ambaye aliipa Madrid ubingwa wa Ulaya mara tatu mfululizo amesaini mkataba wa miaka mitatu unaomalizika mwaka 2022.

Zidane amerejea baada ya Real Madrid kupitia kipindi kigumu kwa miezi hiyo 10 ikimfukuza kocha Julen Lopetegui ambaye alichukua mikoba ya Zidane ambaye naye hakudumu katika nafasi hiyo akatimuliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Santiago Solari ambaye naye leo katimuliwa.

Real Madrid imetolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Ajax wiki iliyopita kwa kufungwa 4-1 nyumbani. Kwenye La Liga Real ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi 51 wakati vinara Barcelona wakiwa na pointi 63.

Mkataba wa Zaidane unatajwa kuwa na vipengele vyenye masharti kwa klabu ikiwemo yeye kuwa na uamzi wa mwisho ndani ya kikosi, usajili wa nyota kama Neymar, Hazard na Mbappe pamoja na ruhusa ya kuwaondoa wachezaji asiowahitaji huku Gareth Bale akitajwa kama miongoni mwa wachezaji watakaoondoka. 
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi