Kylian Mbappe - Mshabuliaji wa Klabu ya Real Madrid

20 Feb . 2025

Patrick Aussems - Aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars

19 Feb . 2025

Jude Bellingham akihamaki baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu na refa Jose Luis Munuera Montero

19 Feb . 2025

Takehiro Tomiyasu - Beki wa Klabu ya Arsenal

19 Feb . 2025

Ruben Amorim - Kocha wa Klabu ya Manchester United

18 Feb . 2025

Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid

18 Feb . 2025

Wachezaji Kibu Denis (Simba) na Aziz Ki (Yanga)

18 Feb . 2025

Lamine Yamal - Winga wa Klabu ya Barcelona

18 Feb . 2025

Enzo Maresca - Kocha wa Chelsea

17 Feb . 2025

Pep Guardiola - Kocha wa Manchester City na Earling Haaland

17 Feb . 2025

Ruben Amorim Kocha wa Manchester United

17 Feb . 2025

Taifa Stars imepoteza michezo yake yote mitatu iliyocheza kwenye michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar,hofu imetanda kutokana na Wachezaji ambao wataunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya CHAN wengi wao wametumika katika michuano ya Mapinduzi.

10 Jan . 2025

Zikiwa zimesalia siku 6 pekee dirisha dogo la usajili Tanzania bara kufungwa Januari 15/2025 ambalo lilifunguliwa Disemba 15/2024, Jina la Aishi Salum Manula mwenye umri wa miaka 29 ni miongoni mwa wachezaji wa Simba Sc ambao hawajapata nafasi ya kucheza chini ya Kocha wa Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani msimu huu kutokana na kiwango bora anachoonesha Moussa Camara raia wa Guinea.

9 Jan . 2025

Mchezo wa ndondi unakua kwa haraka nchini Tanzania pamoja na kuongeza Mashabiki wapya kutokana na nguvu kubwa inayotumika kuutangaza mchezo huo.Mafaniko ya Bondia Hassan Mwakinyo yamewafanya Vijana wengi kuuona mchezo wa ndoni kama sehemu ya kuweza kubadili maisha yao na ya Familia zao.

9 Jan . 2025

Baada ya kucheza na kinara wa Kundi Al Hilal mwenye alama 10, Yanga watarejea Nyumbani kucheza dhidi ya MC Alger mwenye alama 5 Januari 18/2025 Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kuelekea mchezo wa tarehe 12 Yanga itawakosa Maxi Nzengeli, Yao Kouassi pamoja na Aziz Andambwile ambao ni majeruhi.

9 Jan . 2025