Junior Lokosa anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo
Aliyekuwa kocha wa Chelsea, Frank Lampard.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita leo, Januari 25, 2021 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli
Mlinzi wa kulia wa Spurs, Sergie Aurier (kushoto) akishangilia bao na Delle Ali (kushoto).
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira.
hili ndilo kombe la CHAN linalowaniwa na timu 16 katika mashindano ya mwaka huu
