Azam FC
Miongoni mwa nyota 25 wanaosafiri kuelekea Libya ni pamoja na Ali Ahmada,Lusajo Mwaikenda,Bruce Kangwa, James Akaminko,Sospeter Bayana,Aggrey Morris,Iddi Nado na Yahya Zayd.
Azam FC wataikabili klabu ya Al Akhdar ya Libya mnamo Oktoba 08-2022 siku ya Jumamosi majira ya Saa 2:00 Usiku huku nyota 7 wakiwemo Wilbol Maseke,Kenneth Muguna,Ibrahim Ajib ,Ismail Aziz Kader,Shaaban Idd Chilunda na Rodgers Kola wakiachwa kwenye safari hiyo kutokana na sababu mbalimbali zinazowakabili.