
Nyota wa filamu Wastara Juma
Wastara amesema, anatoa lawama kwa Serikali akiwa moja ya wananchi walioipigia kampeni kwa nguvu, zoezi hilo likimuacha na mzigo wa watu 28 wanaomtegemea bila makazi akiwa anahitaji matibabu ya pesa nyingi pia.
00:00
00:00
00:00
