Jumanne , 10th Mei , 2016

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemuchagua Mbunge wa jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bunge.

Bunge limemchagua tena Azzan Zungu kuwa Mwenyekiti mpya wa wa Bunge hilo jana na kupita kwa kishindo nafasi ambayo anaitumikia tena kwa mara ya pili.

Akitoa neno la shukrani Mhe. Zungu amesema nafasi hiyo sio rahisi lakini ataitumikia kwa uadilifu tena bila kupendelea upande wowote.