Joshua Nassari
Taarifa hiyo imeeleza kwamba kauli hizo zimetolewa na Mbunge huyo siku ya jana, Machi 17, wakati akizungumza na wanahabari katika mkutano wa Joshua Nassari ambaye amevuliwa Ubunge wiki iliyopita.
Katika mkutano huo, Lijualikali alishangazwa na kitendo cha Spika kumvua ubunge Nassari wakati Mbunge huyo alipodai kuwa alitimiza wajibu wake wa kulitaarifu bunge juu ya matatizo anayopitia.