Picha ya Kocha Zidane na Benzema
Zizou amesema "Karim ni mchezaji mzuri, anajua kufanya kila kitu uwanjani ninatumahi atapewa tuzo hii ya Ballon d'Or".
Benzema yupo kwenye shortlist ya wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo mwaka huu akiwa na Ronaldo, Messi, Kante, Lewandowski, Salah, Mbappe, Neymar na wengine wengi






