
Mchungaji akiwalambisha vidole waumini wake
Mchungaji huyo pia haishiwi vioja baada ya siku ya mwaka mpya wa 2022 video yake ilisambaa mitandaoni ikimuonesha akiwavua nguo, kuwaogesha na kuwapaka mafuta wanawake kwa kudai kwamba hayo yalikuwa ni maelekezo aliyopewa na roho mtakatifu.