Mashuhuda wanasema kwamba mwanamke huyo aitwae Mahsa Amini alipigwa akiwa ndani ya gari la polisi wakati alipokamatwa huko mjini Tehran jumanne ya wiki hii.
Polisi wamekana tuhuma hizo na kusema kwamba mwanamama huyo amefariki kwa matatizo ya moyo.
Taarifa zinasema kwamba nchi hiyo imekua na mwendelezo wa report ya ukatili kwa wanawake katika wiki za hivi karibuni.
Familia ya marehemu Amini imesema kwamba ndugu yao alikua mzima wa afya na kwamba hakua natatizpo loloyte la moyo.

