
Katibu mkuu wa CCM Daniel Chongolo amesema pia chama hicho kimesimamisha uchaguzi wa nafasi ya mjumbe wa hammashauri kuu mkoa wa Mbeya, na Arusha pamoja na uchaguzi uliofanyika jana mkoa wa Magharibi Zanzibar
Amesema hatua hiyo inapisha uchunguzi ambao tayari umeanza juu ya tuhuma mbalimbali zilizoibuliwa ikiwemo rushwa