Kusah hana mpango wakumuacha Aunty Ezekiel

Msanii wa kizazi kipya Kusah amefunguka kuwa hana kabisa mipango ya kuachana na mke wake AAunty Ezekiel kwasababu ana kila kitu ambacho yeye anakitaka,mbali na hiyo pia ameweka wazi kuwa kwasasa ni rasmi wawili hao ni Mke na Mume

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS