Fisi atafuna kiganja cha mkono

Fisi

Emmanuel Ndete (20), mkazi wa Kata ya Kharumwa, wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, amenusurika kifo baada ya kushambuliwa mpaka kukatwa kiganja cha mkono na Fisi, usiku wa Oktoba 29  majira ya saa 2:00 usiku wakati anarudi nyumbani kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS