Uchunguzi wabaini The Cask ilichomwa na watu

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto mkoani Mwanza,Ambwene Mwakibete

Siku tatu baada ya baa maarufu ya The Cask iliyopo ndani ya jengo la kibiashara la Rock City Mall kuteketea kwa moto, Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mwanza limebaini chanzo cha kuzuka kwa moto huo kuwa ni hujuma iliyofanywa na watu wasiojulikana bila kuwepo kwa sababu yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS