''Tanzania imepiga hatua kidijitali'' - Munaku

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku (kushoto) akihojiwa na Irene Tillya.

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku, amesema Tanzania kwasasa imepiga hatua kama taifa kwenye matumizi ya Tehama na jitihada zinaendelea kuhakikisha hatua nzuri zaidi inafikiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS