Amuuwa mke kwa sumu ya Nyoka

Picha ya Sooraj Kumar akiwa Mahakani

Kijana Sooraj Kumar (28) kutoka Kerala nchini India amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumuuwa mkewe Uthra (25) Mei 2020 kwa kutumia sumu kali ya nyoka anayejukana kama Cobra.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS