Bodi ya ligi yafafanua kutumia waamuzi wanne

Mlinzi wa kushoto wa Simba, Mohamed Hussein akijaribu kumzuia winga wa klabu ya Yanga, Tuisila Kisinda kwenye mchezo wa ungwe ya kwanza msimu huu mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1.

Mwenyekiti wa kamati ya waamuzi, Soud Abdi ametolea ufafanuzi wa kwanini bodi ya Ligi imeaamua kutumia waamuzi wanne na sio sita kama ilivyozoeleka kwenye mchezo wa VPL, Simba itakapocheza dhidi ya Yanga Mei 8, 2021 kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS