Bodi ya ligi yafafanua kutumia waamuzi wanne
Mwenyekiti wa kamati ya waamuzi, Soud Abdi ametolea ufafanuzi wa kwanini bodi ya Ligi imeaamua kutumia waamuzi wanne na sio sita kama ilivyozoeleka kwenye mchezo wa VPL, Simba itakapocheza dhidi ya Yanga Mei 8, 2021 kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.