Baba amchoma kisu mtoto na yeye kujiua kisa Ukimwi

Kamanda wa polisi mkoa wa Geita Geita Henry Mwaibambe

Shija Mwanzalima (30) amemchoma na kisu tumboni mtoto wake wa kambo Rachel Erasto (3), kisha kujichoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na kujinyonga mpaka kufa, baada ya kugundulika ameathirika na Virusi vya Ukimwi peke yake huku mkewe akiwa hajaathirika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS