John Bocco: Yanga hawatoki!

Mshambuliaji na Nahodha wa klabu ya Simba, John Rafael Bocco.

Nahodha na mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Rafael Bocco amejinasibu kuwa wataibuka na ushindi mbele ya watani wao wa jadi, klabu ya Yanga siku ya Jumamosi Mei 8, 2021 kwenye mchezo wa Ligi kuu bara utakaochezwa kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS