Kocha wa Inter Milan, Antonio Conte (kwenye picha ndogo) na mmiliki wa klabu hiyo, Steve Zhang.
Kocha wa Inter Milan ya Italia, Antonio Conte amefunguka na kusema, siri ya kubeba ubingwa wa ligi kuu nchini humo ni malipo ya kamari waliyoifanya pamoja na Uongozi wa klabu hiyo wakati wanamsajili.