Country Boy uso kwa uso na Davido

Picha ya Country Boy na Davido

Ni 'Headlines' kutoka nchini Nigeria ambapo kwa mara ya kwanza msanii HipHop Bongo Countyr Boy amekutana na staa wa Taifa hilo na Africa kwa ujumla bwana Davido Adeleke 'OBO'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS