Wazee wasiojiweza watapatiwa huduma zote- Serikali

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu akikabidhi zawadi kwa ajili ya Wazee na watoto wanaolelewa katika makazi ya 'Maria Theresa House' Mburahati, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, anayeshughulikia Maendeleo ya Jamaii Dkt. John Jingu amesema Wizara hiyo itahakikisha inatekeleza kikamilifu agizo la Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan la huduma kwa makundi maalum ya watoto na Wazee  wasiojiweza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS