Manchester United yamuongezea mkataba Erick Bailly
Klabu ya Manchester United imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja mlinzi wake wa kati, Erick Bailly jioni ya leo Aprili 26, 2021 kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mwaka mwishoni mwa msimu wa mwaka 2024.