Thaddeo Lwanga kuikosa Dodoma Jiji

Kiungo mkabaji wa Simba, Taddeo Lwanga akiwania mpira wa mlinzi wa AS Vita, Ebunga kwenye mchezo wa klabu Afrika.

Klabu ya soka ya Simba itamkosa kiungo wake mahiri Thaddeo Lwanga  kwenye mechi ya kesho Ligi  Kuu ya Tanzania bara dhidi ya Dodoma Jiji kutokana na kuendelea kuwa nchini mwao Uganda baada ya kufiwa na dada yake wiki iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS