Kwani Simba na FCC wao wanasemaje?
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba,Murtaza Mangungu amesema licha ya Mtendaji Mkuu wao, Barbra Gonzalez kukutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Innocent Bashungwa kujadili mambo mbalimbali kuhusu mchakato wao wa mabadiliko ya uendeshaji wa Klabu yao, bado hawana mamlaka ya