Matapeli waanza kuwarubuni walimu ajira mpya 6,000

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amesema amepata taarifa kuwa wapo watu ambao wamekuwa wakiwatapeli fedha baadhi ya walimu wanaotaka kuomba ajira kwa kuwataka watoe pesa ili wapate ajira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS