Ripoti ya Ninje kuhusu waamuzi kutua TFF

Mmiliki na Kocha wa Mbao Fc ya Mwanza, Ammy Ninje akiwa katika majukumu yake Uwanjani.

Kocha na mmiliki wa Klabu ya Mbao Fc ya Jijini Mwanza, Ammy Ninje amekusudia kukutana na Shirikisho la soka nchini TFF ili kuwapa ripoti yake binafsi na kujadili namna ambavyo waamuzi wamekuwa wakichezesha vibaya mechi za Ligi Daraja la kwanza Tanzania bara kiasi cha kuathiri maendeleo ya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS