Rais Samia afanya uteuzi huu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), akishika wadhifa huo kwa kipindi cha pili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS