Prof.Shivji atahadharisha kuhusu makampuni makubwa
Mwanazuoni Prof. Issa Shivji ameshauri kuwa kuna umuhimu kwa Serikali kuelekeza ni maeneo yapi yatakuwa yanamanufaa kwa uwekezaji ili wawekezaji wasiwekeze kwenye maeneo yenye manufaa ya muda mfupi.