Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amewataka wabunge kuzingatia itifakia hususani katika uvaaji bungeni, ambapo amewashauri waheshimiwa wabunge kutokuvaa tai nyekundu.