Hakuna kuvaa tai nyekundu bungeni leo jioni 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amewataka wabunge kuzingatia itifakia hususani katika uvaaji bungeni, ambapo amewashauri waheshimiwa wabunge kutokuvaa tai nyekundu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS