Ole gunnar awatuliza mashabiki

Baadhi ya mashabiki wa Manchester United waliojitokeza kwenye uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo Carrington

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ilimlazimu kuzungumza na mashabiki walioingia kwenye uwanja wao wa mazoezi huko Carrington mapema leo waliokuja na ujumbe wa kupinga umiliki wa familia ya Glazer kwenye klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS