Yanga yamtangaza kocha mpya
Klabu ya Yanga imemtangaza Nasreddine Al Nabi raia wa Tunisia kuwa kocha wake mkuu baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu kukiona kikosi hicho kuchukua mikoba ya Cedric Kaze aliyefutwa kazi Machi 7 kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo mzunguko wa pili.