Yanga yamtangaza kocha mpya

Kocha mpya wa Yanga, Nasreddine Al Nabi kutoka Tunisia (katikati) akionge mbele ya wanahabari leo.

Klabu ya Yanga imemtangaza Nasreddine Al Nabi raia wa Tunisia kuwa kocha wake mkuu baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu kukiona kikosi hicho kuchukua mikoba ya Cedric Kaze aliyefutwa kazi Machi 7 kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo mzunguko wa pili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS