''Tunaungurumisha reli ya kisasa'' - Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo, leo Aprili 20, 2021 ametembelea kituo kikuu cha reli ya kisasa ya SGR, Jijini Dar es Salaam na kujionea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo.