Wanapokwama wachezaji wa kikapu wa Tanzania

Atiki Ally Atiki Mtanzania aliyesajiliwa na London Basketball Academy nchini England.

Kocha mkongwe wa mpira wa kikapu Nchini Tanzania Bahati Mgunda amesema Kinacho wakwamisha vijana wengi kukosa nafasi za kwenda kucheza mpira wa kikapu nje ya Africa ni kufeli masomo yao na Vimo vyao vifupi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS