Tusione kifungashio kisichokuwa na viwango - NEMC

Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka, kushoto ni mifano ya vifungashio vya plastiki (picha kutoka mtandaoni)

Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini (NEMC) limesema kuwa kuanzia kesho Jumatatu ya April 19 vifungashio visivyokuwa na ubora ambavyo vimezuiwa kutumika havitakiwi kuonekana sokoni na endapo Mfanyabishara au mteja akimatwa adhabu yake ni faini au kifungo jela.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS