Watumishi Geita wakamatwa kwa rushwa ya laki moja

Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita Leonidas Felix (katikati).

Taasisi ya Kuzuia na Kupamabana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita, imewakamata watendaji wa vijiji 30 kutoka wilayani Nyang’hwale kwa tuhuma za kugawana milioni 32 walizokusanya kupitia mashine za mfumo wa manunuzi ya umma kisha kuziharibu. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS