Baba ashikiliwa kwa mauaji ya mke na mtoto

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Maketi Msangi

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Joachim Rwegasira mwenye umri wa miaka 45 mkazi wa kitongoji cha Rushonga kata Buganguzi wilayani Muleba kwa tuhuma za kuwaua mke na mtoto wake mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa kuwakata na kitu chenye ncha kali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS