Pyramids yaendeleza ubabe Tanzania

Wachezaji wa Namungo

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika klabu ya Namungo FC, imepoteza mchezo wa pili mfululizo wa kundi D’ kwa kufungwa mabao 2-0 na Pyramids ya Misri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS