Q Chief afanya utani kwa Harmonize mbele ya Kajala
Moja ya Surprise zilizofanyika kwenye usiku wa kukaribishwa msanii Anjella kwenye lebo ya Konde Gang basi uwepo wa wasanii wengine wakubwa Bongo kama Q Chief, TID, Christian Bella, Ben Pol ambao wote walipanda stejini kufanya show.