CAF, yaibana Simba SC

Mashabiki wa Simba SC

Klabu ya Simba SC itacheza bila mashabiki kwa mara ya kwanza katika uwanja wake wa nyumbani kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya El Merreikh ya Sudan, ikiwa ni maelekezo kutoka shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS