Harambe stars kumpima Kim Poulsen

Wachezaji wa Taifa stars

Timu ya taifa ya Tanzania taifa Stars inashuka dimbani leo saa 9:00 Alasiri kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Kenya Harambee stars, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kueleka michezo ya kufuzu fainali za AFCON 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS