Meridian Bet yawasaidia wanaougua uti wa mgongo
Kampuni ya Kubashiri ya Meridian Bet imetoa msaada wa vifaa tiba kwa Wanaougua uti wa mgongo nchini kutokana na kuwepo kwa changomoto ya wagonjwa wa uti wa mgongo wengi ya kutomudu gharama ya vifaa tiba.