Halmashauri zapewa siku 12 tu

Mkuu wa mkoa wa  Iringa Ally Hapi

Halmashauri zilizokopeshwa fedha za kupanga, kupima na kumilikisha ardhi mkoani Iringa, zimepewa siku kumi na mbili na Kamati ya Ardhi Maliasili na Utalii  kuhakikisha zinarejesha fedha hizo ili kusaidia halmashauri nyingine ambazo hazijakopeshwa, kupima maeneo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS