Halmashauri zapewa siku 12 tu
Halmashauri zilizokopeshwa fedha za kupanga, kupima na kumilikisha ardhi mkoani Iringa, zimepewa siku kumi na mbili na Kamati ya Ardhi Maliasili na Utalii kuhakikisha zinarejesha fedha hizo ili kusaidia halmashauri nyingine ambazo hazijakopeshwa, kupima maeneo yao.