Nyota NBA apigwa faini na kufungiwa kisa ubaguzi
Mcheza kikapu wa timu ya Miami Heat, Meyers Leonard amepigwa faini ya dola 50, 000 za kimarekani ambazo ni sawa na milioni 115, 950, 000 za kitanzania kwa kukutwa na kosa la kutumia maneno ya kibaguzi dhidi ya jamii ya watu wa kiyahudi.