Waliouza vinyonga wa TZ kufikishwa Mahakamani

Kinyonga

Watu wanne raia wa Tanzania leo Machi 12, 2021, wanafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kusafirisha vinyonga 74 na nyoka sita kutoka Milima ya Usambara mkoani Tanga na kuwauza kwa raia wakigeni na wanyama hao kukamatwa nchini Austria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS