Wasanii waipa shavu ‘Konyagi’ kuthamini wanawake

Msanii Mwasiti

Katika kuadhimisha kusherehekea siku ya Wanawake Duniani 2021, wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini wamekipongeza kinywaji cha Konyagi kwa kuwapa fursa ya kuthamini ujasiri, ushupavu na uthubutu wa wanawake ambao wamejitoa katika mafanikio ya kazi zao za kimuziki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS