Mzee Kisauji apanga kufanya birthday mtandaoni

Huyu Mzee Kisauji anayetrend

Mzee Kasauji maarufu kama Baba wa Kambo ambaye amefahamika zaidi kwenye mitandao ya kijamii amesema hawezi kuacha kutumia mitandao pia amepanga kufanya 'birthday party' kwenye mtandao wa TikTok.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS