Mapato ya maji taka na maji safi yaongezeka

Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi

Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa miradi ya maji na usimamizi wake umeleta mafanikio kwa huduma ya maji nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS